TUESDAY ENTERTAIMENT
Saturday, November 24, 2012
Mr Chuzi, COSOTA, TAFF kupambana na wizi wa filamu
Kiongozi wa kampuni ya Tuesday Enteertaiment Limited, Mr Tuesday Kiangala 'Mr Chuzi' aesema anakuwa bega kwa bega
na COSOTA na TAFF kuhakikisha wanadhibiti na kupabana na haki za wasanii zinazoibiwa kila siku.
Akizungumza ofisini kwake baada ya kikao kilichofanywa, Peacock Hotel, ambacho kiliongwazwa na COSOTA na rais wa shirikisho la wasanii 'TAFF'
alisema yeye akiwa kama msabazaji na tengenezaji filamu atahakikisha haki ya wasanii zinapatikana.
Aidha alisema kazi nyingi za wasanii zimekuwa zikitumiwa ovyo, bila ya wasaniii kufaidika na kile wanachokifanya, huku wakitumia ghalama kubwa
katika utengenezaji wa kazi.
"Mimi nikiwa kama msambazaji na mtengenezaji, naweza kusema naathirika mojakwa moja na wizi wa kazi za wasanii" alisea.
Katika kutano huo walikuwa pia wakijadili ni jinsi gani wataweza kupanua soko la filamu Tanzania, ili wasanii waweze kujipatia kipato kikubwa.
Saturday, November 10, 2012
Subscribe to:
Posts (Atom)